15 Jul 2016

Matokeo ya Kidato cha Sita - 2016

Salamu kutoka Mang'ola

  1. Muhula wa pili (na wa kwanza kwa A-level) utaanza tarehe 18 Julai 2016. Kutakuwa na mitihani (entry exams) wiki hiyo, hivyo wanafunzi wasichelewe kurudi shuleni.
  2. NECTA wametoa matokeo ya Kidato cha Sita - 2016. Shule yetu imeendelea kufanya vizuri kama inavyoonekana kwenye jedwali hapa chini.

How to reach Us

Mang'ola Chini
-----------------------
P. O. Box 389
KARATU - ARUSHA
TANZANIA
-----------------------
Tel : +255 (0) 27 253 4129
Mob : +255 783 4444 89
-----------------------
Email : annagamazo(dot)school(at)gmail(dot)com
-----------------------
All Correspondence should be addressed to the "Headmistress"